@yuppamungudamalie7255 years agoThis guy is too much, much love harmonize.
@
@shuslimdadyo47185 years agoFst view piga like apo kwa konde gang. 14
@
@kulwaboniphace57285 years agoHakuna kama jeshi tanzania ktk industry ya mziik respect you!
@
@batistahassan64915 years agoDah bro umefanya araka kutoa behind ungesubir kidogo. 5
@
@ameeraaljassim41385 years agoWaso kupenda kazi wanayo nakutakia kazinzuri mmakonde mwenzangu from kenya. 2
@
@florarwegasila94845 years agoMe bado nataka uongezee juhudi kuwaonesha walotabiri kuanguka kwako.all de best mjeshiiii gang 4 everybody 1
@
@ramadhankasim11205 years agoJaman kwan like mnapikia mboga au mana mnaziomba kwer au mki like wa cm inakua aiishi bando. 2
@
@mussakiziyzi4085 years agoKudadek kaz tuu, from konde gang master unawanyoosha sio mchezo.
@
@eddyjuniortz22345 years agoWasiokupenda wanaumwa tena ugonjwa usiojulikana. 2
@
@ramadhanyusuph23245 years agoKushuti kumbe kunakazi sana kuna vitu lazima viwepo kweli kumbe mi nilifikilia vyote ni vya kuediti. 1
@
@goodluckaugustino54865 years agoKazi nzur mwanangu sema usje tuangusha tunakuhaminia sana.
@
@PreciousErnest5 years agoKama unakubali jeshi. weka like. 41
@
@deogratiusmtei15145 years agoHilo ndo jeshi mwanamme inatakiwa uwe na maamuzi magu kama huyu mshkaji huwezi fananisha na taka yoyote pale wcb wote waliobakia ni wavaa vikuku na kuimba. ...Expand
@
@maulidrehani5 years agoWana waliolala km maiti wametisha kinyama by the way konde uko juu dogo. 2
@
@salmasaid24015 years agoNdugu . yani.ipo.vizuri sana kali kama hii.naiangalia kila siku kila dakika ee wacha tu upo.juu.ila ujiongeze tupate.video.nyengine kali.zaid ya hii.umewachapa ndugu.yangu.mungu.akusimamiee walai.vile .....Expand2
@
@bantushine65785 years agoNani kaona cheni la harmoniz libya la mwaka 2020. 4
@
@jandaboytzzjandaboytzz76485 years agoTatizo nassib kakupa ujanja wote yani kakufundisha vyote. 6
@
@samuelmwaipopo13025 years agoZile scene za vifua wazi jua lilikuwa kali sana limeharibu picha.
@
@madukaj.j.69995 years agoMimi sijui sielewi huwa sipendi sana kuzitoa hizi behind the scene maana huwa zinaharibu uhondo. 1
@
@hushbtz33105 years agoJeshi ni jeshi2 Gusa link Kaupo na jeshi
@
@jaymaahvoice29665 years agoMy name salim konde namba yangu ilijibroke naomba niunge freemason 0673429696.
@
@fabiolafabulauwimana40205 years agoHamuna camaajabu apo mbona scne za kanyaga na baba laoo ndo zimetumika apo hamuna kia kabisaaa ume copie scne za diamond kama zote. 2
@
@noonelike63825 years agoMm ni wa 7 kulike na 2 kukoment na kuvew. Konde boy nipe zawadi yangu 0766020066. 1
@
@deogratiusmtei15145 years agoHilo ndo jeshi mwanamme inatakiwa uwe na maamuzi magu kama huyu mshkaji huwezi fananisha na taka yoyote pale wcb wote waliobakia ni wavaa vikuku na kuimba. ...Expand
@
@salmasaid24015 years agoNdugu . yani.ipo.vizuri sana kali kama hii.naiangalia kila siku kila dakika ee wacha tu upo.juu.ila ujiongeze tupate.video.nyengine kali.zaid ya hii.umewachapa ndugu.yangu.mungu.akusimamiee walai.vile .....Expand2
Related videos for Kushoto Kulia - Behind The Scene - Part 4:
kaz tuu, from konde gang master
unawanyoosha sio mchezo.
weka like. 41