kishki hakuwa salafi alikuwa anawabaraguza watu kuwa yeye ni salafi sasa akamatika
Category
Show more
Comments - 146
@
@bongotrends29873 years agoMaa Shaa Allah..... Sheikh kishk yupo sawa kwani kukosea ndio Ukamilifu wa Kila mwanadamu.... Mtume kasema kila mwanadamu ni mkosefu na si vizuri kuwaumbua wanazuoni mtandaoni huu sio Uislamu unatuaibisha ulamaa wetu 8
@
@abdallahmoussa6143 years agoSheikh Abdallah Humeid na wangine ma Sheikh woote ambawo walinganiya katika njiya sahihi Allaah awape umri wakheri ndani yake ili mzidi kutuilimisha kwayale tulikuwa hatujuwi apo kabla mana tulikuwa tukipelekwa pelekwa nama Hizbiyya.... Khawarij, sufi... lakini mashaa Allah kwa sasa twanza kuona mbali na kujuwa mengi kupitiya ma Sheikh wetu wapendwa wa kisalafi ...14
@
@jesmirmohamed34672 years agoingekua vizuri nyinyi mashekhe muende kwa vijiji mwangalie uislam ulivyo na si kukosowana kafanyeni da'awa vijijini ndio na mtembee si kukosowana 5
@
@husnamohamed94483 years agoMimi nauliza kuna maswali matatu twaambiwa tutaulizwa kaburini.Moja ya swali tutakaloulizwa ni ipi dini yako wala hutaulizwa lipi kundi lako.Mimi namuunga mkono kishki mimi pia sina kundi kabisaaaa najua uislam tu ndio dini yangu ...6
@
@aljalilatiba98733 years agoMBONA HAMUFATI MTU,E MUHAMMAD NA MASWAHABA WALIKUWA NI WATU WA VITA KUTETEA DINI KWA UPANGA?? DHIDI YA MAADUI HADI KUPATA DOLA YA KIISLAMU 6
@
@thetravelquestservices3 years agoBwana AbuAzhar...kazi ya edit isikuweke pabaya..nilikua nikiifanya na najua unachofanya...vizuri ufanye Da'wah yako kipekee ndugu yangu. Kua tofauti na wote.. 4
@
@SubaRajabu3 weeks agoShekhe wetu Abdalla Humedi endelea kufikisha dawatu salaf na ndyo dawa aliyo kuja na mtume wetu Muhammed
@
@bahamadiali50493 years agoMadhehebu yetu ni quruani na hadithi za mtume za sa hihi 9
@
@chimbaboytv29373 years agoNamuunga mkono kishki ww huna hoja, tupe dhehebu LA mtume n maswahaba zake 7
@
@cassimoa92172 years agoWewe sheikh mbona unapenda kutumia mitandao kuwasemea vibaya masheikh wenzako? Kwani wewe umekamilika na elimu zaidi ya wote hao? Wallah sikupendi kwa tabia yako hiyo mbaya . Unarudisha nyuma na kuwakatisha watu tamaa ktk dini. Hayo ndio mafundisho ya mtume? Unawafurahisha maadui wa uislamu ...5
@
@amenakenya79933 years agoMa shaaa Allah Ma shaa Alllah Ma shaaa Allah Shrikh wangu humeid Allah akuifdhi na akujalue subr na akupe umri mzeeeeefu uzidi kutuelimiya na kuwachambuwa mashekh kma hao ma shaa Allah Allah akuifdhi mm nakupenda sanaaa kwajil ya Allah Allahuma amiyn ...4
@
@hamenyimanasalum72895 months agoUyu jama dini imemshinda ahelewi tupo nyakati gani leta fikra kupeleka dini kwenye next level acha pirika
@
@rashidkhalifa353 years agoUjinga tu madhehebu ni kitu gani ? We are all Muslim only . tumeambiwa tuwe wamoja hatujaambiwa tugawane vijundi . 12
@
@miramboofficial9462 years agowe shehe haujamuelewa unakurupuka hakuna waja wema waliopita hata 1 walikuwa wanapondana kama wew na wenzako aya umepata faida gani sasa zaidi ya kupata dhambi na mungu amesema kufeni hali ya kuwa waislam hakusema kefeni hali ya kuwa masalfi ...
@
@abuushaymaatzkajoki71072 years agoBaaraka Allah fiyka wa jazaka Allah khayran sheikh kazi yenu ni kubwa na ni nuru ktk hii ardhi biidhinillah, watu tulikuwa twadanganywa Sanaa humu mitandaoni but kwa hivi twaelewa haqi iko wapi. Mimi nasemaga Sina mashikamano na mtu yyte isipokuwa haq ...
@
@aljalilatiba98733 years agoIKIWA MUNAWAFATA WEMA WALOPITA WAFATENI KISAWA SAWA MSIPINDISHE 2
@
@swahibually17233 years agoLakini Kishki kasema mwenyewe Dhehebu lake,mbona sasa anasema hakuna madhehebu,mhh!! mnaanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe sasa,mlikua mnawaita tabligh KUA ni makafiri,leo mwasema ndio wanaomfuata Mtume?الحق يعلو ولا يعلى عليه.Mtanyoosha tuu maelezo,muda wa kuwa mnawapotosha watu,mtanyooka mmoja na mtaendelea kugawana mpaka mfike yale makundi 73 aliyoyasema Mtume s.a.w. ...3
@husnamohamed94483 years agoHizi nguvu munazotumia kukosoa wenzenu mimi naona mungetafuta kazi mukafanya na malipo ya hiyo kazi mukatoa sadaka naona ingefaa zaidi 4
@
@adnaankhanbhai7057last monthKishk kachanganyikiwa maana ana ropoka asivyo vijua
@
@noshadiomani495210 months agoMtume ndo kalingania hivyo jamani kuwatukana watu hata km ni ukweli ndio huo fikironi vizuri tuache ushabiki jamani hii dini
@
@jengajuma88253 years agoYani nyinyi waalimu wasasa mna tuchanganya sana kwanza mmekosa hekma na busara piya amna yani sijui mnatupeleka wapi zehebu katika uislamu alina na fasi 2
@
@maryamabdallah31402 years agoItaqillah masheikh zetu...wacheni kutia ikhtilafu kwenye safu za waumini wa kiislam.... Ogopeni moto, Moto ambao Kuni zake ni wanaadamu na mawe...mcheni Allah jamani ... 1
@
@lukmanomar11382 years agoNyiemasalaf sijui atamwataka vp makundi hayafaaai sisi hatuwafuati nyinyi masalafii wagombanishi 1
@
@bebisheni43802 years agoDini yako mwislam mtume wako muhamadi Hadi waalimu walio kufundisha 1
@
@salehal-oufy5380last yearJe hao wanaojifanansha na wema waliopita (Salafun swalih) ni kweli wanamatendo ya Salaf utaona ni ujanja na mbinu ili kuwateka vijana wanaoinukia na watuwazma waliokuwa hawakusoma udogoni 1
@
@mootelahamongus6332 years agoMasalafi feki, Mnajificha tu kwenye dini lakini kikubwa kinachowasumbua ni Husda tu. 1
@
@suleimanmussa32122 years agoHhhhhhhhh kishki kwa mbwembwe t na wanja yuko vzr lakn chengne skioni...!
@
@abilugome74613 years agoIfikie kipindi tueshimiane Kama waislam sio kila wakati sio kila wakati wa kukosoana mashekh 1
@
@mauldabdalah21682 years agoShekh achaujinga wa kishamba umekosa darsa au mada yakufundisha mpaka unakua fisadi 1
@
@Ukhtyzuhura2 years agoEnzi ya wema walio tangulia Hawakuwa na madhehebu 1
@
@abusalam77742 years agoAhsantum ya Abdallah Humeid kwa kuweka mambo wazi nakupenda kwa hilo hawa mashekhe mashehena huwa wanataka kujaza audio zao au video clip ili wauze lakn hakna faida yoyote humo ndani uwongo mtupu na kigeogeo
@
@mariammohd35153 years agoMashehe wasasa wengi mashoga hapa kuna kosa hani acheni ushoga kuna mambo tele yakusema mnapigana mafumbo kama mabaradhuli bwana acheni izo
@
@zohoraramadan45403 years agoNaomba kujua mtume wenu ni dhahabu gani 1
@
@deathrow80043 years agoWATAFANANA VIPI NA MTUME WAKATI HAWANA ILIM? 3
@
@MohamedAhmed-yi1yf3 years agoWacheni kuumbuawana waislam katika mitandao nyie wote ni madaai mnamakosa mengi 2
@
@bushcar92543 years agoBokisi kweli kishk hamna kitu Mimi namuona Kama vile chupa tupa isiyo kuwa nakitu anatapa tapa hata haeleweki 2
@
@khamisptrany93932 years agoHawakutani masalafi wawili ila moja atamkufurisha mwenzake Ikiwa hiyo ndio hali ya masalafi baina yao, sasa je kwa wengine?
@
@amosmoses78003 years ago# SHEKH KISHIKI NA GENGE LAKE AKIWEMO SHEHE SHAFI. KIPOZEO. MAZINGE. MUSA. NI KATIKA MASHEHE WANAFIKI. WANAOWRASIFIYA NA WANAOJIPENDEKEZA KWA MIOUNGU YAO AMBAO NI VIONGOZI WA DOLA YUPO NA YULE SHEHE YUSUF ABDI KULE KENYA. MASHEHE WA MATUMBO NA DUNIA ...
@
@Wastara0013 years agoAbdalla Humeid usichoke kaka. Allah akupe nguvu. 1
@
@abuusaalimalmasasiyyu94213 years agoKaz kweel kishk hajui mising ya sunna wallah kwa sabab hoja zake hazina utofaut na za wale ambao hawajapitia darsa 2
@
@yussufilyassa30113 years agoMbona mnagombana nyinyi kwa nyinyi sasa!? Maana yake nn?
@
@aljalilatiba98733 years agoKWANI UISLAM UNA DHEHEBU MTIHANI KWELI ?? 1
@
@abdulhussein98163 years agoMadhehebu yapo kama ukoo ama kabila xaxa ww na ujnga wako unampinga mjinga mwenzio
@
@fadhiliswalehe92863 years agoNurdin kishk kapinda hajui misingi ya dawah salafiyah hana historia ya kusoma dini mwa maulamaa wa sunnah 2
@
@legend98052 years agoHuyu sheikhe uwa kazi yake ni raddi basi. Badalaa atowe mawaidha waislamu wapate faida. Hafanyi hivyo kazi yake kusema masheikhe
@
@dulaseif50012 years agoKISHKI YUPO SAWA MANENO YAKE ASIYEMFAHAMU NI JUHA
@
@aishasaid59763 years agoSs kwani ww shekhe unateseka nini ww upo mkimuwinda ww sema unachoona kinafaa kwani mpk upitie kwa shekhe kishiki ila 2 umkosoe unanini ww kama mnaona mpo sahihi baas endeleeni na usahihi wenu lkn muacheni shekhe kishiki wetu bongo tunasema mkomeni lol kishiki kishi hilo jina mlimpa nyie pumbavu kbs ...
Related videos for KUJIGONGA GONGA KWA NURUDINI KISHKI | SHEIKH ABDALLAH HUMAID:
HADI KUPATA DOLA YA KIISLAMU 6
Ma shaa Alllah
Ma shaaa Allah
Shrikh wangu humeid Allah akuifdhi na akujalue subr na akupe umri mzeeeeefu uzidi kutuelimiya na kuwachambuwa mashekh kma hao ma shaa Allah
Allah akuifdhi mm nakupenda sanaaa kwajil ya Allah Allahuma amiyn ... 4
Hawakuwa na madhehebu 1
Ikiwa hiyo ndio hali ya masalafi baina yao, sasa je kwa wengine?
SHEKH KISHIKI NA GENGE LAKE AKIWEMO SHEHE SHAFI. KIPOZEO. MAZINGE. MUSA.
NI KATIKA MASHEHE WANAFIKI. WANAOWRASIFIYA NA WANAOJIPENDEKEZA KWA MIOUNGU YAO AMBAO NI VIONGOZI WA DOLA
YUPO NA YULE SHEHE YUSUF ABDI KULE KENYA.
MASHEHE WA MATUMBO NA DUNIA ...
MTIHANI KWELI ?? 1